Back in the day we used to love bread. Especially the crust. We had a special name for it.
We used to call it Buzaah!..what did you guys call it back then?
Back in the day we used to love bread. Especially the crust. We had a special name for it.
We used to call it Buzaah!..what did you guys call it back then?
we called it juu and chini
I still love bread to this day. kwanza bread taht has been in the house for kitu 2 days inakuwanga tamu sana. you just apply the holy fruit inakua sawa sana
Hehehe shida ya hio fruit ukibeba mob kutoka nyumbani inaharibika
I hate wheat products in all it’s variants.
Mimi ni mtu barley and more barley.
Nyinyi endeleeni kukula chapati.
Barley na wheat si ni cousins
the last time nilikula mkate na chai ni huko 2005 , i hated mkate hata nikiwa SHULE nilikuwa na prefer Kangumu
All the more reason why one is enough for me.
Ile slice ya mwisho tulikuwa tunaiita ‘back bench’
crust
slice za mwisho tulikua tunaita ending but saa hii I cant stand bread
Hard Cover!Watu Watu Wa KB…mikono juu!!!
Niliskia ikiitwa defender… Lakini si mumeipatia end slice mwisho majina mingi…
Enyewe pia niliskia hio jina na wengine hehe
Tulikua tunaiita Kadunglu
Natafuta rye seeds anyone who can help please.
So it is safe to ashume bukusu hukula ugali na mrenda asubuhi ya mkikuyu?
Nyumba yetu, we had a very strict rotation list of whose turn it is to eat the "back bench " slices . Sisters and brothers had the same rights when it came who eats what.
Strictly enforced to maintain peace among siblings.
mugate wa mbere
True brother there exists a pecking order in every animal society without it, there is no peace. What about my rye seeds?