Bread tings

Back in the day we used to love bread. Especially the crust. We had a special name for it.

We used to call it Buzaah!..what did you guys call it back then?

we called it juu and chini

1 Like

I still love bread to this day. kwanza bread taht has been in the house for kitu 2 days inakuwanga tamu sana. you just apply the holy fruit inakua sawa sana

2 Likes

Hehehe shida ya hio fruit ukibeba mob kutoka nyumbani inaharibika

I hate wheat products in all it’s variants.
Mimi ni mtu barley and more barley.
Nyinyi endeleeni kukula chapati.

Barley na wheat si ni cousins

1 Like

the last time nilikula mkate na chai ni huko 2005 , i hated mkate hata nikiwa SHULE nilikuwa na prefer Kangumu

All the more reason why one is enough for me.

Ile slice ya mwisho tulikuwa tunaiita ‘back bench’

3 Likes

crust

1 Like

slice za mwisho tulikua tunaita ending but saa hii I cant stand bread

1 Like

Hard Cover!Watu Watu Wa KB…mikono juu!!!

1 Like

Niliskia ikiitwa defender… Lakini si mumeipatia end slice mwisho majina mingi…

3 Likes

Enyewe pia niliskia hio jina na wengine hehe

Tulikua tunaiita Kadunglu

1 Like

Natafuta rye seeds anyone who can help please.

So it is safe to ashume bukusu hukula ugali na mrenda asubuhi ya mkikuyu?

1 Like

Nyumba yetu, we had a very strict rotation list of whose turn it is to eat the "back bench " slices . Sisters and brothers had the same rights when it came who eats what.
Strictly enforced to maintain peace among siblings.

1 Like

mugate wa mbere

True brother there exists a pecking order in every animal society without it, there is no peace. What about my rye seeds?