Boychild Ataangamizwa! Who Will Save Him?

Nakuambia boychild ako kwa shida. After kusoma, kupata job inakua noma. You hustle for some time, sa hio hakuna msichana anakutaka juu huna any. Ukipata kakitu unaingia tu pale ka local, unachapa vikombe kadhaa unaenda home. Siku inafika unaangukia kazi kwa gava. Ukifikiria ati umefika na sasa utajijenga, ki mama kimoja bar attender kinakupea kamuti. Mnachukuana mnakaa pamoja. Sa hio kina watoto wabigi kimeacha kwao so hakiezi kuzalia. Mshahara ukiingia unakipatia wote. Instead of taking your life to another level unakwama kwa such situation. Boy child is an endangered species. Something must be done!

NB: Hii ni kitu imefanyika 100%. Av witnessed it.

Fixed …
Pole kwa masaibu

sio mimi

Kubali tu hatuna shida

Hakuna kitu kama kamuti.

Take accountability for your stupidity.

[ATTACH=full]491411[/ATTACH]

I in turn will laugh when disaster strikes you; I will mock when calamity overtakes you. Prov 1 26

I in turn will laugh when disaster strikes you; I will mock when calamity overtakes you. Prov 1 26

Hapo kwa Kupiga Vikombe vya keg ni ukweli… But boychild is meant to be that shit person on this planet. Anyway, 90% of wimins will reduce boychild to useless …Men must be carefull with wimin.

Kuna hii time I had flot, and nikawaacha kuvuta bangi coz the mama was not okay with it. Hapo ndo niliingizwa box. After 3 months nilijipataga to salary/hustle zote nampea… Alafu kuna hii time, We had saved 70k of which ilikuwa ni pesa yangu ju alikuwa jobless. Sasa mama naye akaenda na pesa zote kwao na nikabaki bil ata pesa ya food.

Hapo ndo nilirudi kuvuta bangi yangu na nikasema pesa yangu ni yangu na sipeani

Ati

Ati girlfriend, hiyo ni bandit unaishi naye

Bado unaongea maneno ya ‘We’, hujanyoroshwa vizuri wewe, unatandikwa hadi hauwezi hata volunteer hii story mahali, anyway hii kijiji haitawai niangusha, nyi huoa viumbe vinakaa aje lakini? @Heke @Yuletapeli kujieni mwanajeshi mwenzenu na mjue chuma chenu ki motoni.

Uhuru messed up

tingod ruto will do something.

Sadness of life :D:D

By then, she used the trick We sasa we but it was me

I now fully understand why you support Ruto and Kenya Kwanza and why Ruto loves you.

You were Pussy whipped ati kamote:D

Not me. Ni jamaa mwingine

funda, it’s not me

Kaeni hapo tu mkidhani kamutii ni hekaya za jaba.

:smiley: pole chief

umAFwi thread.

Ya mkamba mshamba illiterate maskini @PHARMACY huuuza kuma 50 bob per shot mlolongo