Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amenusurika kifo wakati kitu kinachohisiwa kuwa ni bomu kulipuka baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa White City, Bulawayo.
Tukio hilo limetokea saa chache baada ya mlipuko mwingine kutokea wakati Waziri Mkuu wa Ethiopia, Dk Abiy Ahmed kunusurika kifo alipokuwa akihutubia jijini Addis Ababa. Mlipuko wa Ethiopia umesababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine zaidi ya 100
threads za wa tzd inabidii umeingi ukiwa na window ya google translate hapo kando.
Zimbabwean President Emmerson Mnangagwa survived death when something was thought to be a bomb explosion after completing a campaign meeting at the White City Stadium in Bulawayo.
The incident occurred a few hours after another explosion occurred when Ethiopian Prime Minister, Dr Abiy Ahmed survived death while addressing him in Addis Ababa. Ethiopia’s explosion has led to the death of one person and injured more than 100 other