Boda boda goons burn yet another vehicle in Kikuyu

1 Like

Hio ni mia saba hamsini elfu ya elder imechomeka. Hii upuzi ya watu ya boda inafaa kuisha.. hatutafika levels za maana kama 95 percent ya wake ya wakona akili kama ya watu ya boda.

3 Likes

Hii kitu inaitwa boda should be made expensive to buy and maintain. Ruto apandishe tax on importing boda. Bei ikuwe minimum of 250k. Siku hizi hata vijana wamekataa kazi zingine wakimaliza form four ni boda tu

4 Likes

Yeah.. ati heri wakae kwa barabara wakingoja ma 50 bob na wamewacha mashamba mzuri.

Wengine wanawacha places kama hizi wanafika nairobi kuishi kwa slums na kufanya kazi ya usoja



1 Like

Matrix ndio inafanya wakue town but abandon such scenery

3 Likes

Msee anachapa online jobs kama @Sanchez11 hapa anaweza ishi kama sultani

3 Likes

Akina Uwesmake

1 Like