Niaje mzito niko hapa undisclosed location nikitoa lock on my well deserved break from work nimeingia bar saa moja na nusu asubuhi momo imefail kuload
[ATTACH=full]53964[/ATTACH]
3 Likes
Wapi momo
1 Like
KDF , mbicha ya momo ?
1 Like
Way to go man, way to go!
Ilikua akuje ameniwacha mataani
Mimi niko matini na sisumbui raia.
1 Like
Bianco ama rosso and for your info martini ni pombe ya wanawake(no hard feelings)
1 Like
Chunga omwami usikuwe alcoholic. It is too early to drink.
1 Like
wochman mwanamke unakunywa matini ama martini ama ni kushrub unashrub .
1 Like
Upus
Pombe niliwacha last week, felt good having 10k in your mpesa on Friday and having it still there on Monday.
Omwami uliza hio bukusu shepart kama hakuna club bungoma inaitwa matini?