Bingwa kujia job

Nataka handles zijae kwa hii site yangu
http://wakenya.xyz/index.php

Weka synopsis nijue kama nitaclick

1 Like

si upeleke hii upuss muranga

Usitaje taje muranga ovyo…we own most of the buildings in CBD

1 Like

Hii crayons…

[ATTACH=full]82116[/ATTACH]
[ATTACH=full]82118[/ATTACH]
[ATTACH=full]82117[/ATTACH]

6 Likes

Nikki mani

My friend, site mpya na unaforce watu waregister ndio wa-access? You got jokes man.

8 Likes

hapo hadi phone number wacha ikae

2 Likes

Umetumia crayons kuandika hiyo logo…basi maliza kucolour KING in talking kwanza kabla uonge juu ya wase kuregister
[ATTACH=full]82120[/ATTACH]

…And kanyenyaini and githumu to o

The lower Nairobi belongs to them

Unaweka login & register kwa landing page.

1 Like

Watu Wa Rwathia sisi ni mabillionere

1 Like

watu wa @Murang’a walikuja nairobi kuuza ma-koti na kuchoma mahindi!

1 Like

Uko na mchezo mungich,unataka ni register ndio nichungulie upus!

ungeanza na XXX kuattract watu vile ktalk ilianza. ungetusiwa lakini wasee wanaregister chini ya maji!
[ATTACH=full]82121[/ATTACH]

13 Likes

We Corinthian
umejifunza HTML, na PHP uanze kutusumbua?

1 Like

we as in who:D:D:Dsi wewe at best i think all you own ni ka aramis

1 Like

Leteni hizo review nijue vile naeza karabati

mbona inaitwa KDF? I think your target audience ni kina @bjurmann

1 Like