Biashara ni ile ile tuu sema solo tofauti.

Biashara ni ile ile ile sema soko/gulio ndo tofauti, wanawake asilimia Mkubwa hasa waleo wanajiuza;sema tofauti Mwingine a naenda gulioni na mwingine anafanya hiyo Biashara kwa namna tofauti mfano asilimia Mkubwa ukimtongoza Mwanamke anaeleweka au anategea kupimo cha mapene,ukiomba appointment utasikia ,halafu simu inakata sms,au simu yangu imeishiwa Salio,Mara ujue hapa sina nauri naomba nirushie,wengine utasikia yaani sina hata ham ya chochote ,ukiuliza kwanini anakwambia Nyumba nadaiwa kodi mwenye nyumba anataka kunifukuza ,wengine ujue mdogo wangu ananisumbua ada ,Swali je inamaana shida zimeibuka Baada ya mimi kuomba appointment??kama kununua si bora niende gulioni ambapo nachagua tunamalizana namkeshi kisha kila mtu anaendelea na mambo yake??

Mkuu hujui kuwa “kuwa na girlfriend bongo ni kujipa matatizo tu,gharama zake zinazidi gharama anazotoa baba mwenye familia”

Love Entrepreneurship

Mleta Mada nimekupa like ,nimekuelewa

afu bora ukute katulia bt anaomba ivo huku anamichepuko si chini ya mi3… inauma sana.

Wewe kingdom animalia nimeupenda mwandiko wako ghafla.

Nifafanulie hebu

mapenzi ulaya,africa biashara

The choice is yours, kununua cash au delivery

Inasikitisha sana…

Cc: @Mahondaw

Kama kuna ukweli hivi

sex trade…

Mkuu kiBongo ukipata Demu jua umechukua sehemu ya majukumu ya baba/Mama yake, halafu utasikia wanasema eti wewe unapenda upewe ila kuhudumia hutaki. sasa swali ni Je huduma kama vocha, ada na papuchi zinahusiana vipi kama sio FOR SALE?? b’coz papuchi ndio italeta vocha na shida nyingine.
“Ukitoa kugongwa mwanamke hana mchango mwingine kwenye ndoa” na “ukitoa pesa mwanamke hana sababu ya kukaa kwenye ndoa” walisema wazee walipokutana na wahenga sio mimi.

As usually, The choice is ours

Ujue hii biashara kubwa kuliko hata tunavyoiona kuna pesa nyingi sana huko ambayo inazungushwa

:D:D

Wa Online vipi wapo?

Kwani unakiri @Mahondaw anakutoa upepo naye?

usipotoa ela waitwa mbahili
kumanyoko zao

Wote ni mwendo wa kujiuza tu