Na wenyewe pia.
Wasee wamelelewa githurai kuna mse anauza bangi uko ki Stone si rizzla jamaa ankuwanga amekafunga mbaya…amejenga rental gorofa refu nyuma ya hao yake imefunika iyo place kabisa…jamaa (anaitwa Tonnie) ukamcheki venye anaishi soft life ndio utajua iyo biz ina wenyewe (inasemekanga bangi zake huletwa kwake na lorry za jeshi za kahawa barracks)