#BHAMUN

Not going well

2-0

Penda sana

Lukaku

rusheni links

goooL

[MEDIA=twitter]1031196321590509568[/MEDIA]

Hujuma

:D:D jirani anapiga nduru ni kama wagondi wamemvamia. Poor ManU fans.

game ni 93

MMMM MMMM

kamuliwa kabisaa. @MeriaMata aka meria mai team yako inatolewa nguo.Mcheka kilema hafi bila kumpata na pia ukiona cha mwenzako chanyolewa tia maji.

Unakumbuka haka kateam kaliuma Wenger 2-1 kwenye huu uwanja?:D:D Na bado kakauma Man U…Kateam kichwa sana…

Well played Brighton, united have lots of work to do. The road ahead is long

Si wakina Harry kane watawakamua kabisa next weekend:D:D

Last season si ni hawa walichapa manchieth both home and away? Correct me if am wrong

Penalty

A very tired performance, if that makes any sense…

Mimi sasa nimesema mourinho akanyange nje. This is just pathetic.

Apana, haikuwa haka…

wajaka wanachapwa pale Rwanda cc: @Mathaais
[ATTACH=full]189013[/ATTACH]

Pundit @spear kuja pea sisi post match preview .:D:D