Nataka kuweka hizi bets betin
Saa slip yangu itakaa aje
[ATTACH=full]36278[/ATTACH]
Uki-upload image, kabla ubonyeze ‘Post reply’, tafasari bonyeza ‘Full Image’. Hapo ndipo utapokea ‘like’ za kukuwezesha kufikia cheo cha VE. Lakini kwa sasa… Keti Paleeeeeee---------------------------------------------------------------------------------------------->
Sitaki kuwa VE nimeuliza mimi
1 Like
Ndiyo maana umeambiwa na @123tokambio uketi hukooooo ------------------------------------------------------------->