Onion prices have shot up recently, juzi nilienda kununua spring onion nikahesabiwa vijiti na venye kitambo walikuwa wankusundia shada la vitunguu. KES 20 only gets you 4-5 sticks of spring onion.
Anyway I decided to inquire into this unfortunate turn of events and surprise, surprise… It had something to do with maize. Tz farmers where we import our onion from switched to maize due to the prices it fetches in Kenya thus forking onion consumers. Samosa bila kitunguu haileti shangwe.
On the flip side, watu wa asimio watapata wimbo mpya wa kuimba wakati bei ya unga na mahindi…
Hakuna pesa ya haraka kwa ukulima. Juzi tu bei ya kitunguu ilikuwa imekwamia chini ya 35 bob per kg, kwa muda mrefu. Sasa ivi bei iko juu hadi Christmas, halafu iteremke chini zaidi kama vile bei ya tomatoes iko chini.