Bed tyme stories with Kihii Kiaganu

Mafans wangu am back with a bang. Najua mulikuwa munauliza where your favorite talker alikuwa ameenda…ilibidii ni tembee huko Waginge no tulie kidogo lakini niko mpaka mahaterz walie.[ATTACH=full]92744[/ATTACH] [ATTACH=full]92745[/ATTACH]

Troll troll… Ignore by typing the word kihii

Cheza chini meffi

iko sawa

mafans ni wewe na watu wa kwenyu

1 Like

Kihii kia ngoma. waitina

Mafans ni akina @uwesmake na @Wakanyama

2 Likes

madawa ni za nini mingi hivo

Jaribu kula kama mwanaume

2 Likes

Hizi ndio vitu zinafanya wanaume wanajifanya kama watoto.

2 Likes

Siwes kula

pia si tushakula na hatusumbui…meffi

Za kupunguza ujinga

3 Likes

…hizo madawa ni supplements…instead of supplements, na unapenda food, why not eat food iko na hizo nutrients…instead of swallowing those 3 capsules ndio upate Omega 3, Kula samaki instead

There’s a blonde who landed here yesterday calling herself Jill. Unaeza kuwa unashare na yeye hio chakula yako ya mbwa.