hii mwili haina heshima kwa general,
Ulikula mutura mbaya… Pole. Uko na wakukupikia?
Ugua pole
nitakufia kwa hao na hakuna atajua mpaka ninuke,nikupatie direction?
Pole shemeji,prostate cancer ni mambo mbaya.
@Jirani ,bout iko hatakama nitakuja na wheelchair
:D:D:D
Ukimwi inauwa watu sana enda hospitali upewe ARV
Pole wakanyama dear…
Ugua pole Wakaquarter.
Leta my Bro. Ukidie hata @admin hatatusamehea. @Jirani ndiye atafurahi
Ugua pole Wakanyaks
pole mzee
@Wakanyama ni mtu wa watu. Wa mama wote wa ploti ni bibi zake. U know how it goes. Pucci for rent
Pole zangu pia.
kwani bibi yake @uwesmake ako wapi?
Otherwise quick recovery, kipii
Ugua pole general kiguoya. Sasa kazi ya kuchimba choo imesimama?
leo utaitwa waka zote…
wakamtura
wakamatumbu
wakathufu
wakasungura
wakasheppart
wakascumpaka
wakapigsty
wakageneral
etc etc
pona haraka , lakini kwanza kimbia hosi uchunguzwe kama uko na mad cow disease
umewachia nani soupamarket na pigsty? Pea @Okiya control biashara isidunde. Ugua pole
bure kabisa Jenerali aina gani ana andikiwa bed rest