:D:D:D unaenda kupelekea Wa-Russia umeffi ya Premier league hooliganism…unafikiri russians ni wale mafans wa premier league,hawa watu mimi mwenyewe nikawaona wakiwa walevi (and they normally drink in large groups and are very loud na ni Vodoske hao ukunywa)…i usually avoid them or ondokea them. ogopa Mrussia
[ATTACH=full]43935[/ATTACH]
wako uku pia…kuna mahali watu ucheki ball inaitwa brandenburger tor…It’s an open ground with a very large screeen showing foota…inaweza kuwa na watu kama 10,000 in one sitting. Polizei (police) have banned Russians and England fans kwenda uko…also sasa hakuna beer bottles allowed
I have Russians crew WA AN-12. Mambo biad. Kwanza Wao hunywa Makali Na kingereza hawajui. Huko Loki unaona kamsee kametuliz Tu Na kanakaa kajinga Kama Messi Ni Kama hakajui kitu. Lakini yeye hawezi donate damu. Yake Ni 99% Makali.
Hapo Na support Russians. Imagine umelipa ticket. Dakika Ni ya 85…ma brother Na ma sisters za Rooney ziko Tu hapo zikiimba Tu God save the queen. Kidogo kidogo wanadai eti all beers za Marseille Ni zao. Wakati huo dakika Ni ya 90. Dakika ya 91 wanadaisha eti English commentator anasema history is about to be made…England on the way to win first game in Euros courtesy of Russia. 92nd…mnatinga kitu…wanawaanza Na line. Kila msee ngumi Na sweep