wakanyama helps @PepoPunda after failing to find @Jirani [ATTACH=full]60046[/ATTACH]
venue ya hio fight iko langata cemetery, saa nane sharp,mkiona @Jirani mumuelezee
@Wakanyama you are serious you want a terminal solution or bury the hatchet? Sababu huko naona mtu akizikwa.
na sio mimi nitazikwa huko,nita wa update na picha nikiwa huko,
Undertaker @Wakanyama kuja polepole
@Wakanyama wish u all the best
yaani @Wakanyama hujamalizana na @Jirani
yaani @Wakanyama hujamalizana na @Jirani
Mumesalamiwa… anakwom[ATTACH=full]60060[/ATTACH]
Jay Baby Boy mwenyewe.
Hapa itabidi nisupport our very own pure breed.:D:D
lazima akule masweeps na maslaps kadhaa
Make sure umezika jamaa …we want bicha ya kobola na ya mazichi + home coming pale Ndinya ngombe !
True…akiuwa jigranny nani ata service mashosh wa Dandolin?
Arrraa… Where is that long toothed kalenjin jigranny? Huyo tutazika na pure breed hapa.