kuna club ka batis CBD kweli?? wale watoto wako pale…chinekeeeeh…aki kama wewe ni ule bae from umoja the one tulikua tuna patana macho ukidance ni inbox…i missplaced ua number…just inbox plans za kuleta ngombe kwenyu zianze…u were kedo 5’5 tall…
Ngombe unatusumbua na hangover inatuuwa
Senior wanker…kuwa mpole na ufungue ktalk ya batis
@M2Random aliwahi sema hiyo ni club ya wale watu Nairobi chewed and spat them out
Hii club Batis mnapenda kuhype sana hapa KTalk. Nimezoea kwenda Relaxde na Texas izo ma lane ngurumo cia nyairofi lakini nitatembea huko nione wat is.
Eti umezoea Relax Pub? Hio si place ya kuzoea brathe. :eek::eek:
Hehehe kuzoea ya huko don’t equate with kalocal ka home. huko ni 123toka mbio peke yake
I know what you mean.
thot iliisha morning my Herder
ata if he said…boss kitu i saa
w apo naitaka
we ni wale maninja mnatafta waMatha uko?
Hizi kelele zako za chura peleka mtoni ng’ombe wenzako washindwe kunywa maji brare feckin siet
Manze ile maisha watu huishi iyo Nairobi nashangaa sana.
Nakumbuka hekaya flani hapa ndani vile mjamaa alikula pishori pale Batis. Iyo club imejaa maliar sana wengine wanakaa tu wagonjwa na unaeza ibiwa pale ndani ju ya ile human traffic iko huko, kaa rada sana ukiwa pale ndani.
ata na dawa, no day naeza ekewe…fika batis n ask waiter ule jamaa hujifungulia tei hukaa wapi…n more so i dnt use there glasses…mm ni chupa na cork ya beer…drink funga na io cork
uyo dem ni mfupi,akona figa,akona haga alafu pia akona kitambi ya beer.ni KUNGURU.atadaisha thao mbili kulala na shot anadai punch.anakuanga beshte na kunguru mwingine mnono wa umoja bado.kunguru hafugiki lakini