BARUA RASMI KUTOKA MTANZANIA MAGUFULI

kuna baadhi ya Wakenya wanatangaza mambo mabaya kuhusu nchi yetu…leo mnajionea mkiweka thread tofauti ya kujigamba vile mumetupita na hasa kutuonea wivu watanzania kwa hatua tunazopiga katika nyanja za uhusiano wa Kimataifa na Maendeleo kwa ujumla. Na washauri wakenya wakubali kuwa Mtoto hawezi piga baba bali hufuata ushauri wake. Sisi kama waonesha njia kwa upande wa ki uchumi, mnastaili kutupa heshima na msijidanganye na ndoto ambazo haziwezi kuwa za ukweli bali twajua ubinafsi ndio umewajaa. kweli tabia haina dawa. Kwa mawazo ya kibubu ni kukosa muelekeo kwa kushabikia kitu usichokijua! Maoni yangu ya mwisho nasema mfuate ushauri wa kaka zenyu wakenya @Alchemist @Jakoyo @Rene Descartes ambao walisema Wakenya wataumwa sana lakini watapoa tuu, kwanza wakome kuendekeza ukabila kwao. Tafakari hayo.

Daresalaam yenyewe msishangae kwani huku si china

[ATTACH=full]45820[/ATTACH]

Mkapa bridge longest bridge in Africa
[ATTACH=full]45821[/ATTACH]

Unity bridge Imeshikanisha taifa mawili … Aisee wakenya hili daraja sio mchezo, nadhani hata la Mkapa kule Rufiji halioni ndani hapa
[ATTACH=full]45822[/ATTACH]

Bernard kiwia na Oscar hilonga Watanzania ambao wameendelesha uvumbuzi duniani. Uvumbuzi huu utawezesha pia Kenya inawiri.

http://www.bbc.com/news/world-africa-32973591
http://www.bbc.com/news/business-35132430

Kumbe tuna wasaliti mtaa hii. Magfool Toa bangi hapo si TZ

Magufooli, sisi pia twajivunia makalio ya mwanadada Vera Sidika, biggest ass in Africa.

Huyu wenyu ni Pumzi tupu na hewa kwa mgongo. Unapiga kidole inapasuka kama baloon.

[ATTACH=full]45824[/ATTACH]

jaribu wetu Agnes huyu na hana hata mfupa kwa mwili. Tz urembo ndio umeuzidi ma dada zetu.

[ATTACH=full]45823[/ATTACH]

Twajua vyeo vote vya chama cha East African community Sisi ndio tumeshikilia. Tukiamua tuji ondoe kwenye east Africa yani TEXIT. Najua Uganda na Rwanda yatatufuata. Twajua uchumi wa kenya ni TZ imeshikilia na tukitoka basi itadidimia.
Twajua kwenyu Sekta zilizokuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa GDP ni Biashara. Tukifunga Boda basi umaskini unawaingia.

Magufooli kula tu kwa macho, chunga mate yasikunyonge.
http://www.sde.co.ke/sdemedia/sdeimages/friday/snojulopstexcb3f566140d18dee9.jpg

Sawa kaka tushakuskia. Sasa enda ukapeane kunyi kwa Rais Magufuli akukamue.

Bingwa petition yako pale UK parliament yaenda aje? Tupe matokeo

TOKENI MWENDE NA MSIANGALIE NYUMA…MEFFI

usistuke baba ni ukweli mtupu nakuambia. soma gazeti uelewe sio fb.

Sawa kaka. Tushakubali ni ukweli mtupu. Now go wank! Hatuna time na upuzi wa kurudiwa rudiwa kaa msee ako jobless corner. Kaa kwenu na unyamaze

https://www.youtube.com/watch?v=5_qlHwSxsbk

Mimi nataka namba ya Shilole.

Magufooli naomba ukague hilo pipa la maviiiiii…
http://buzzkenya.com/wp-content/uploads/2015/10/vera-1.jpg

[ATTACH=full]45825[/ATTACH]

August naja kujivinjari kwenye hoteli zenu. Mnipe service inayostahili watalii wanaoleta hela kwenye economy yenu kuistawisha

Hehehe magufuli mjinga is that all your country has ?

Weka picha za Dodoma Capital City

Mnajenga flyovers wakati watu wanakufa njaa. Kama werevu ndio huo naomba mie nibaki nyuma. Jana najitupa kibandani kwa Mama john mkenya . Aisee !!!
kama wakenya mwakula vyakula vya “nipee nikufee” basi mimi nawaonea huruma.
[ATTACH=full]45827[/ATTACH]

name

Tuna mengi, soma kuhusu Tz na ujiskume kidogo angalu akili ipanuke.