Hii ni balaa
bed hufunguliwa na spanner namba??
it happened to be a coincidence
Ka-14
Na mbona yangu hufunguliwa na 13 ama niligongwa?
Ni kama bed yako ni ndogo kuliko ya @gashwin…Ama fundi alikugonga material ya bolts
:D:D:D:D:eek:Itabidi urudishie Omondi akuekee bolt y’a kufunguliwa na spanner maliar
[ATTACH=full]109965[/ATTACH]
Ndiyo maana kuamini mafundi huwa ngumu.
:D:D:D
Its okey wakuumbwa,mumekojolea thread ya Demo,isorait,@Deorro anawaona tu,equator in the offing.
sana.Apana amini hao watu
14/15
Yangu ni 11-12
12,13,14,15 the thinner the better coz mbao haiwezi pasuka easily
Hehe…vindu vikolapsanga
Tafuteni ile kitanda ya blue ya tene haina haja ya spanner