[ATTACH=full]176351[/ATTACH]
Kwa waliosababisha JF Tz izimwe!
Hii sikukuu mwaka huu nimeielewa…
Yaani niko choka mbaya, pombe za kuunga hata haziwi tamu, kila nayojaribu inazingua.
This is Bad News!
mmh kutoka IG
Umeona eh!..
Dah Mkuu bishop hiluka yupo huku?
Bishop Hiluka weka Avatar yako ile ya JF.
Niliipoteza, mkuu, ila baada ya posti yako nimefanya juhudi hadi nimeipata…
Nipo kiongozi, nimejaa tele na uenyekiti wa kijiji nimepewa…
Mmmh! Labda wakupe uenyekiti wa jeshi la Sungusungu kijijini.
:D:D:D:D:D…