Back to School! Uwesmakei TBT

[ATTACH=full]435252[/ATTACH]
@uwesmake akirudi shule Kimilili DEB Primary school many years ago.

Kijana nyenyekea banae na uwache upuzi.

We know your background, hiyo masumuni umelipwa kwa sweat shop ya muhindi isikudanganye na
kina Naliaka huko nyumbani wanakula tabu na huku Nairobi Malaya wanamaliza pesa yako.

:D:D:D

Chama ya wamama hukutana Sunday

kijiji hamuheshimu wazee siku hizi . kitambo 1920 @Abba akiwa class 1 , kabla uongee na baba yako ilikuwa unaenda unalima shamba acre moja ndio upate permision ya kuongea na mbuyu chini ya mti akimumunya busaa

Useless

Priss curse that chokosh @uwesmake . Niliskia uko 120 years ancestor.

:D:D:D Hii ni design, inaitwa “unfinished”

:D:D

Huyo lazima awe ni @Gaza

What’s funny panya hii

Niaje muzee. Busaa haijakuua?

Maliza huyo jamaa wa Kimilili