Average age

Wajamaa i did a secret survey based on comments,threads and activities hapa and i came to the conclusion that the average age of talkers is 50yrs…watu hapa ni fossils but the comments they make mirror a child

Sasa tukuaward a Rabbit, ama?

Wewe ulifanya high school 94…means ulizaliwa 74…means you are atleast 48yrs…halafu ile comments za ushenzi unaweka hapa…weeh
Jana uliweka thread about penis wtf.

Wewe how old are you?

You are conveniently not mentioning my A- …best believe it wasn’t easy

Most talkers are 30+.

Twenty somethings are busy slaying pale instagram na kutafuta their next sexual partner kwa badoo/tinder.

:D:D:D

Most young people think their age is registered in their name. I first entered klist at 20. Saa hii siongei. Monkey na jamaa ya mafeelings hebu mnirushie kakitu ama nihack site. Hiyo contribution yote ata kama mnaona ni upuss ndio imewajenga.

Ata mutu randon akikuja hapa alikuwa 30 lakini alikuwa anadanganya 25. Sasa amefika 36 slaykween wa KU wako half the age sasa haongeangi.

You mean as childish as Akothee ?

Wewe uko na miaka ngapi?

You must have been working at a cyber cafe to have time for Klist. Popular sites ilikuwa mashada na coke life in red back then.

I was introduced by a female when working somewhere there was an internet connection. and no it wasnt a cyber it was a bigger company. and i had just bought the laptop I am typing on right now. laptops were strange things then even educated people wouldnt touch because it was probably one of the things they didnt know how to approach without being exposed. there werent any smartphones.
it wasnt long after I noticed @uwesmake because of his weird hippo posts, pics and a rivalry he had with some other lister. i genuinely concluded the dude has mental disorder due to the obsession with women. nilikaa sana sijapost sababu ni kama kukaa kujibu wenda wazimu. so i observed for sometime.

Wewe foreman i have a damning dirt on you…endelea kumwaga maffi in my threads…last warning

Wacha vitisho baridi anika apa.

Aliomba?

:D:D:D… since i joined this madhouse i have only initiated one conversation na ilikua ya construction.

Nani ako na utoto mwingi kuliko wewe @Akothee ?

wewe kwanza inakaa ni pensioner…