:D:D
Team ni njegaa
Hakuna team hapo hadi pale Martial & Mc Tominay watakapoingia.
Team kubwa=Team ya wamama
Ala they’ve scored. Shiet!! Wacha niendelee kukaza
Defense ya Aston villa inakaa kulala
Second half tunawararua
Ronaldo anangoja Messi aende MLS ndio yeye pia aende. hataki kutangilia. @Wanaruona binjwaaaaaaaaa
Niko hapa Harris Tavern enjoying Rhumba when the useless Man U is being flogged :D:D:D
Tunawatakia draw ama mlale
Say what? :D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
:D:D:D Sasa Aston villa ni team ya kupiga manjesta
Lakini kuna venye Aston villa wanacheza kama team kubewa 'Aresenali ’
Unai emery ndio coaches. Manjesta Wanakaskia…
Heshimu sisi watu wa Aston. :D:D. Wa turedio @Electronics4u toka nje. Toka nje
Martinez is on fire. It’s 3-1. Itaisha 6-1
@Wanaruona tombwaaa kabisa zimefika 3
Team kubwa ni Newcastle, manjesta ni wamama, umbwaaa…
Shiet 4-1 :D:D:D:D
Wadau nmefika … timu kubwa iko jonjo. Bado 10 + 7 extra minutes, apa tuna sawazisha na kufunga ingine juu yake.
Mujamaa ushindwe kapsa