Arror's words

Zinakuwa monitored na countries zote za East na Central Africa, sababu washajua huyo ndio boss wao for the next 20 years. Kalonzo na Raila ata waongee nini hakuna mtu ako bothered,

Boss wa nani? Jamaa ataona StateHouse kwa TV

Who’s arror

JSKS

Whats that in full

misuli tinginya

Jambazi sugu kutoka sugoi

aka the Lion of Sugoi, the hustler’s champion

When he’s just a DP yet throws shade like “DRC has no cows” his words must be monitored. Arror has massive nuts, granted, but is still too abrasive to lead a country for the next decade at least. Let him marinade in the cooler till he’s palatable enough for plebs, our neighbors, and the bourgeoisie

Apart from Museveni ( I think ashajitoa) I have never seen this guy associate with any leader both regionally and internationally. What kind of a president is that going to make ikiwa mpaka unatukana his neighbours? Are we looking at becoming a pariah state in the near future. We need to be careful people.

tanzania, somalia, united kingdom, united arab emirates na uganda zilitufungia mipaka wakati wa Uhuru. Ata south sudan haina heshima kwetu siku izi.

If jsks gets the presidency ,hizo country zimebaki zitatufungia pia mipaka ,but the best part ni vijana masikini hohehahe Kama @uwesmake mwenye ameinvest ktalk with 200 handles na 160k likes watakufa njaa nisipomdeenyer mcoondur nimlipe .freedom of speech and writing shit will be regulated like ghaseerr

Your vocabulary is full of difficult terminology. Please expound