kijana wetu Chambo ashafunga moja
[ATTACH=full]64297[/ATTACH]
Arenali ni ngombe gani?
Ango umelewa
Swafi the Ox
kidogo tu but tunauwa nyoka hapaa
hakunaa goal line technology kwa carling cup ? tunaibiwa bwanaaaaa
Haikuingia wewe mluhya mjinga
iwobi naye anauza banaaa
Niko 3D SQNY Ultra HDTV na inakuja na feature ya goal line technology.
Chambo 2 - whatever 0
but Wenger ni fala vile Carzola ako injury angerudisha chambo first team si kumchezesha hii game ya umama
Chamberlain…wht a shot 2-0
Xhaka atacheza wapi Chambo akiwekwa mid?
enda uone uefa plastic cup kwa hio SQNY yako
Xhaka , Coquelin , Elneny ni ma holding midfielders , we need an attacking midfielder kwa game .
Hiyo tunajitoa very soon uncle.
Hatutaki trophy za upussy.
nani amegundua @Mzee mzima anaanza kucoment saa sita ya usiku ? hio ndio time anaiba simu ya madhe time amelala
pia @WuTang ako active sanaa usiku mpaka saa kumi , huyu anafanya kazi na Ben Gethi ama Patni
Acha kunimulika uncle.
swafi Arsenali tuko through Totenchieth imeenda nyumbani .
wacha tuone panya za manchester kesho zikikutana nitakuwa nyuma ya Man city . but hii carling cup ni upus hata wenger haitambuangi . yafaa tuwachie team za relegation zichukue hii upuss vile wenger hufanya .