Another rich Kenyan cremated

See how former Nyeri M.P. Peter Gichohi Muriithi was cremated.

He follows in the footsteps of other moneyed Kenyans like Wangari Maathai, Kenneth Matiba, Jeremiah Kiereini and John Macharia (S.K. Macharia’s son).

[ATTACH=full]378579[/ATTACH]
https://www.the-star.co.ke/news/2019-07-02-nine-prominent-figures-who-opted-for-cremation/

hol up…
mtu hawekwangi ndani ya kitu kama oven alafu una nyamchomeshwa huko ndani?

At Kariokor You can opt for the oven thing or firewood. All in all cremation is much cheaper yet most poor Kenyans opt for expensive burials.

Indians crematoriums huwa live live.

Hizi modern crematoriums ndio watu hufungiwa ndani ya furnace chamber hadi wawe jivu.

ukichomwa banae watasema wewe ni devil worshipper

unakula moshi ukitoka burial una canibalistic tendencies

That’s possible. I’ve heard that the smell from crematoriums resembles the smell of fried bacon

:D:D:D:D:D:D wacheni hizo.

Hii ujinga ya kubeba maiti sijui kutoka coast hadi Bondo while wailing ni kaa saitan ametokezea ni upuss kapsaa. Watu wachomwe penya gas imewakatikia banae.

going back to our roots, we could include hyena cages at kariokoor or langata where those who opt for a traditional african send off will have the body thrown at the caged scavengers. people will have the option of watching the bone-crushing canines machines at work, and collecting the hyena excrement to take to a place of their choice, preferrably as manure for an indigenous tree. The nairobi county can record the circus and open a channel on youtube to raise cash to breed hyenas that can finish the job in seconds.

Who told you na mlikuwa mnapiga story gani ndio mkafikia hapo?

Unaeza chagua. Kariakor is like 22k for open bbq,sijaona elec ikitumiwa so im guessing ni expe,langata ni 17k for oven baked,65k montezuma electric grill.kids is 6-12k Process takes couple of hours. I’d preffer cremation,whats the point of visiting a grave site? Remembrance?

langata ni 17k for oven baked,65k montezuma electric grill.kids is 6-12k

I will have you stuffed and to be used as a coat hanger and/or umbrella holder

Mafala. Indians wanafuata culture na religion yao, nyinyi mashoga mnaenda kuchomwa pia mwafuata culture na religion ya wahindi, kwani mnajidharau aje?

Si hata wewe uvae ngozi juu, hizo nguo uko nazo ni tamaduni za wazungu.

Mungu mwenyewe ndiye alitengezea Adam na Eve nguo pale kwa shamba la Eden, mbona nisivae nguo?

Whatever turns on your kinks @Deek Breath

Kuna a very serious limo nimeona kwa TV ya hearse. People know how to throw away money that they don’t even have

Ile nyasore mnavuta hii kijiji banae