Unasema nini wewe, leta content ukifanya unachosema
Kasongo ako na Moi error hangovers, hajui times have changed. These guys are playing with their lives wakifanya abductions kwa ghetto. All it takes is a few seconds na mtu ako juu ya tyre.
Kazi safi sana. Kasongo must go bloody nyau. We cannot allow the state to turn into a butchery anafikiria amekuwa putin sasa
Shenziiiiiiii
Hao wasee usione hivyo wako rada. It will take just 1 person to throw a stone to that car na ndio hivyo hao D- wanapelekwa sayuni. Hapo naona abductors wanajifanya wako na courage but in reality wanaogopa.
One of the UCO also taking footage.
wangechoma hio gari
Hako kamama ka polisi kame vaa blue hapo mbona hakasemi kitu???
Uyo amebeba pombe ametense ajabu, his body language speaks it all
Tunakaa tumkalenjin…hiyo lorry imebeba mawe wangurusha moja kwa windshield…seriously kama kuna arrest wanafaa kuja na gari ya serikali…ukibebwa na hizi private cars anything can happen to you. It could be thugs or dci