https://www.youtube.com/watch?v=7ULLZ6pgof4
EDITED -TRANSLATION ADDED
Githi wanjiraga njuke ii nyone mbica na marua [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kumbe ulikuwa unaniambia nikuje ndio nione picha na barua
Iria mwanahurwo nao ona ingi mwi njaga [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Zile mshawahi pigwa nao ata zingine mkiwa uchi
Mundu ari kumena uria ungi no ta muruthi [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Mtu akichukia mwenzake ni kama simba
Uriaga matharigo nyama ciarema. [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Yule hukula mabaki nyama ikimshinda
Tutikuruganirira ii tondu guku ni town [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Hatutarushiana mikono juu hapa ni town
Na ndingiona muteithuri [COLOR=rgb(184, 49, 47)] Na sina mtetezi
‘ke nguitikirie [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Acha tu nikuruhusu
Njeterere itua ria Ngai no uririkane [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Ningonje maamuzi ya Mungu lakini ukubuke
Ngwaci itari na muguru ndingiaga arii. [COLOR=rgb(184, 49, 47)] Kiazi kitamu kama hakijaoza hakiezi kosa walaji
Murata ndikuigumira ii no kuinuka ndingiinuka [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Mpenzi sitajilazimisha lakini hapa sitoki
Nii ukundekeria ikunia thii ngiyonaga [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Nitandikie gunia sakafuni nijionee
Ona moka ninguinama mumumunyane [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Ata wakija nitainamisha kichwa mpigane mabusu
Mata moru no ma nyoka ‘ke nguitikirie. [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Mate mbaya ni ya nyoka acha tu nikuruhusu
Kindu itagugutigira ii no mbica iria ya Mombasa [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kitu sitakuachia ni ile picha tulipigwa Mombasa
Nigetha nyonage iria ngaririkana [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Ndio niwe naona bahari najikumbusha
Muthenya wa githingithia gikiuna miti [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Ile siku tetemeko la ardhi lilivunja miti
Miihitwo iria wehitire [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kiapo ulicho apa
ndigucokera. [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Sitarudia
Mbica ciakwa murata ugicururia [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Picha zangu ukasukisha
Mbete yakwa ukiruta niguo wendwo [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Pete yangu ukatoa ndio upendwo
Nguo ciakwa ukihingira ithanduku [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Nguo zangu ukafungia kwenye sanduku
Reke nyambe nguitikirie [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Acha kwanza nikuruhusu
Reke nyambe nguitikirie.X2 [COLOR=rgb(184, 49, 47)] Acha kwanza nikuruhusu
Ngurira ngikirio nuu ii na waku niutuite njoya [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Nitalia nitulizwe na nani na ushanitenda
Ndingiathura turaranie nguugire uhoro [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Siezi kataa tulalanishe nikwambie kwaheri
Mutigano muuru ndari noo wa kihii [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kuachana kubaya ni kwa mvulan
Muiyiro wakio wathira gikanyua kahiu. [COLOR=rgb(184, 49, 47)] Kuapa kwake kukiisha anatairi
Ndakuhe kimera kimwe ii wambe utindikane nao [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Nimekupea msimu mmoja usukumane nao
Na wanyenda niukangora ‘ke nguitikirie [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Ukinitaka utanitafuta acha nikuruhusu
Kuuma umuthi ndikuyaga ruria rwakuywo [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kutoka leo nitacheza ule mtindo unachezwa
Ngwaci itari na muguru ndingiaga arii. [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Kiazi kitamu kama hakijaoza hakiezi kosa walaji