Tazama video hiyo.
[ATTACH=full]176738[/ATTACH]
Kama ambavyo msema ukweli ni mpenzi wa Mungu basi iwe na muambiwa ukweli na akakubali kuambiwa nae ni mpenzi wa Mungu
Wengi hatupendi kua Hit with the truth, tunapendelea zaidi kua comforted with lies…
Cc: @Mahondaw
Ukweli ni mtamu japo mchungu
Ngumu kumeza japo inapita
Ukweli humuweka mtu huru na salama zaidi,.
Ukweli unaongeza Uaminifu