Nimemngoja hapa sankara,amesema leo ni leo apana tambua kesho.Niweke shot ngapi?
Situlikubaliana Saba ndio minimum? Unless you don’t want kijiji cred
Jaribu utumie condom utaona
Ungeweka mbisha after kukamua kichwakibovu atapeleka hii mharo ukose kukula hiyo slice
Iko sarama rakini ugefanya kama @ankoUwes kamua kwanza ikufe then leta ngozi hapa
Imefika tayari, inakamua chupa nikiipea HEKAYA
pepeta anko pepeta
Inasema iko na identical twin, siko sure ntaweza 14 shots…
Ngoja ma CI wakuje
Try ndege styro,
Hii ntaanza shot za kwanza tatu kwa SETTINGS, alafu hizo zingine nimalizie kwa ACCESSORIES
wewe pia sema uko na identical twin, 7 shots a side
Bibi anakungoja nyumbani boss
[ATTACH=full]36170[/ATTACH]
Mimi maneno ya bibi ni mpaka the next 3 years
Cockblockers Anonymous…
Kwani lazima upeleke dame Sankara ndo ukamue?
Bure kabisa.
Ni hayo tu kwa sasa.
Sasa nini mbaya na sankara, kama sitaki jam ya tao nitafanya nini, nimpeleke kempinski ama?
Amemeza wine glasses kadhaa, sasa nikuiroga na chupa ya amarulla take away.
There is room for improvement but Beauty is in the eyes of the Beer-Holder. Haithuru…
Fantasizing is free.