Hi Talkers… kindly niambieni :What do we call an ambulance in kiswahili?.. Thanks in advance!..
Don’t be dense kijana. Consult proffesor Google.
Ambalansi.
AMBIULANSI
1 Like
Gari miiuuuu miiuuuuu miiiuuuu
11 Likes
Thanks kuka!!.. kidogo nilikuwa nimepanick kiasi… thought nitakutana na picha ya shipoto!.. thanks anyway!
1 Like
“Wewe,Ambulance…Kuja hapa”
kwani unaenda interview ya paramedic tz?