Aliyewaambia tatizo muda nani?

Wanajua kabisa kinachowashinda wengi kusajili ni gharama zisizoendana na kipato cha bloggers wala sio muda.[ATTACH=full]176421[/ATTACH]

Jamani i miss home huku japo tumepata hifadhi lakini naona chenga i

Poleni sana maana harufu ya kufeli kwa kile mnachokusudia inaanza kujionesha
na Amini nawaambieni kadri ,muda unavyozidi kusonga ndivyo hatari ya kile musichokipenda
inavyozidi kuwa kubwa.

Bado tunasubiri kanusho kwamba hawajasema kuzifungia blog or forums au kuzitaka zisipost maudhui(Content) zozote…

Cc: @Mahondaw

sasa itabidi mkipanda ndege mlipishwe choo…sio mnakuuuuunya tu bure.ona hapa

Ndege nchini India zitakazoangusha kinyesi cha binaadamu kutoka angani zitapigwa faini ya Rupee 50,000 sawa na dola 736 mahakama imeamuru.

nyumbani nyumbani

Hapo watakuwa wanamsubiri Melo na JF yetu.

Mbona huku tuko poa tuuuu tuuuu?

Me too…huku pamepoa sana na watu wengi hawana taarifa ya uwepo wa Jf huku.

Always home is greater than anywhere

Hizi ID mpya nazo mizinguo tu

Nikweli kuko poa kiasi. Ila tumezimiss zile hifadhi za madini ya jf ilizonazo. Jf ni kama google tz

Kambi popote mkuu!!!

Wape taarifa…

Yan niko kama mgonjwa japo tunakutana huku lakini bado jf is the best

Kwa wengine ni sawa kiasi ni kikubwa ila kwa jf tatizo ilikuwa sio pesa ila kuna zengwe specific kwa jf tu!!na kwa masharti yao kamwe tusingeweza toboa hao wengine ni kenge tu wamenaswa kwenye mtego wa mamba!!usishangae baada ya kumkosa mamba waliokusudia hata hao kenge wanaweza achiwa tu mala ohh tumewahurumia kwani ajira nyingi zitapotea!!kumbe waliomkusudia wamemkosa!!kwani si unaona kina lemutuz na milaadayo wo walipata zamani !!! Na sasa wanahasira sana na jf kwani hawakutegemea kitu kama hicho!!sisi hata ingehamia pakistani tupo tu na jf yetu

hao walikuwa wakiitafuta jf
mku nakusalimu kutoka kule jf ya zaman nakumbuka tulikuwa tunajadili thread yako ile ya kuhusu fursa nchi za ngambo

Usij

usijali hapa pia tupo great thinkers

Igizo lao liliilenga jf yaan utawala wa jiwe kwakweli unachekesha

Huwa ninafarijika sana nikiwaona ndugu zangu wa JF huku.