Aliwacha hii kwangu

Inamaanisha aje mnisaidie wadau? Nimepata hiyo nywele imefichwa Chini YA kitanda[ATTACH=full]487075[/ATTACH]

Just marking territory, nothing special.

Thank your lucky stas umeingizwa ndani ya nyungu or rather hutatoka nje ya ndoa[ATTACH=full]487085[/ATTACH]

Anafuata maagizo ya mkamba mjinga kama @chap.

Uchawi

Choma hiyo kitu na uombe…

Unainua hizo dumbbells ndo ukipiga mtu nyongolo hawezijitoa :smiley:

Hizo ni chunga maii umewachiwa. Some hairy bitch that one

:D:D hapa hujitoi.

Utakuwa unakuja hapa kutuambia venye umewezekana, na venye ni yeye tu.

Utakuwa unaenda kucheat, kitu inakataa kusimama:D:D

Anyway, maybe ilianguka tu accidentally. Stop reading too much into it

Alifwata maagizo ya Mkamba Mjinga illiterate @PHARMACY Testis Mutinda na Bibiye @Heke

kwani jabass unatombanga the walking dead na madimoni? io nywele si ya mtu ako uhai buana

utakorogewa morio

Inamaanisha uache kuvaa nywele za best lady saitan

jipake mafuta ya nguruwe, sana sana nguruwe jike.

You are finished, hizo madeng’a zako ziandikie will

Tumia yeye hii mbica umuulize maybe ilianguka kimakosa

Umeingizwa Bavarian illuminati :D:D

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D kijana you are so stupid ,that’s why you fell in love like a wall[ATTACH=full]487120[/ATTACH]

Kwani unaishi kwa gym