Alimwaga ndani: Kodiaga shika mtoto wako

Mtoto ni baraka, mtoto huja na sahani yake lakini hapa…jamaa amekataa. Kumeharibika.

https://x.com/city_digest/status/1882380465174385099?t=j5UC3hHrJ_k_HZx13-ox9w&s=19

4 Likes

A chukue mtoi aende DNA test

3 Likes

@Bingwa_Scrotum kuja uchukue mtoto wako bana, alaa!

8 Likes

Atoe wapi pesa ya DNA…na amevaa slippers. Alirushiwa ngori. Kukulana bila cd ni risky sana. Sasa Kodiaga anapalekea mamake ushago, kuongeza mashida juu ya mashida

3 Likes

Kodiaga is a True alpha male

3 Likes

…ukimwaga ndani, ukiskia fiti matokeo ni hayo.

Kwani Leo Samaj Patel Vishnu hajapea wewe overtime.

2 Likes

Hio chokora inakaa muuza mcea @GituK7 itatoa pesa ya DNA wapi ?

2 Likes

The lady is not Arab. Shit is even scripted

1 Like

Poor Kid :pensive:

1 Like

Katoto kameanza kulia ,mashida zimemwanzia mapema sana :joy::joy:

1 Like

Kakona wazazi wa ajabu, walikuwa tu raha zao

1 Like

Huyo jamaa aliona buibui akarukwa na akili ,Niko sure alibragia watu baze vile amekula buibui . Lakini hata Dem mwenyewe si waria ama mwarabu anakaa mnubi wa Kibra .Mi kama ni kukula Muislamu ni either akuwe waria au mwarabu Hawa wengine zii

3 Likes

Alivuliwa buibui banae hio nka kuvuliwa keremba na mukorino

2 Likes