Alianza mtoto wake wa kike na sasa mpaka mama mtu anaact the same alafu sijui tatizo ni nini?

Hapo mwanzo nilikua sina mazoea na huyu dada alikua anapenda kuniangalia na mimi nilikua namignore kitndo kilichopelekea aanze kuniogopa yani akiniona napita lazima asimame anipishe na sikujua sababu za msingi za yeye kufanya hivyo na sikutaka kumuuliza kwa kua sikutaka mazoea naye

Sasa baada ya mda mchache baadae mpaka hivi sasa na mama yake naye ameanza kama na yeye ananihofia yani anakwepesha kwepesha macho akiniona
Nashidwa kuelewa kwa kweli
Naomba ushauri kwa hili

Itakuwa Damu ya Yesu Inakulinda wasikuloge. Sasa wameogopa.

Duuuh mambo ya damu ya yesu yanaingiaje hapo mkuu

Hakuna chajabu ndio haiba yao tu

Sometimes inaogopesha ndugu

Amini nikuambiayo mimi Nabii na Mtumishi wa Mungu aliye Hai. Damu ya Yesu inakuepusha na balaa.

Mkuu mbona kama unaforce niamini unachokiamini na kukisema

Kwan wewe unahisi nini?

Nahisi vitu vingi sana
sina jibu sahihi kwa kweli na ndiyo maana natafuta ushauri aisee

Wanakutaka ukawapige 3some…jiongeze kidogo basi

Unamatatizo ya kisaikolojia mkuu, wahi kwa mtaalamu wa kisaikolojia kwa matibabu

Acha illusion mkuu, labda ndio walivyo so ulizia kwanza kwa jamaa zako kama na kwao inatokea hvyo.

Manake hata sculi enzi hizo kuna watu Demu akimuangalia tu anakuja anaanza kudai kapendwa. Pelelza kwanza

Au unatisha mkuu, sura ya kazi

Sasa wewe unataka wakuangalie au wasikuangalie?

Walipokuangalia uliona shida, sasa wameacha nayo pia waona shida…

Ainisha hayo matatizo kwanza ili nijue kweli niko na hayo matatizo

Hahahahahah me sijui mkuu
Naona pia ukaamua kunijumuisha kwa hao ndugu zako wa shule
Sasa kwa haya maelezo yako unamaanisha nimeweka huu uzi ili mniambie napendwa
Sasa mbona mkuu umefika mbali me sina maana hiyo aisee
Kutoa suala hilo pia kuna mambo mengi tu huwa yapo kwa design hiyo mkuu

Jitahidi ujue, then urudi tena tukusaidie

Unajistukia tu pengine wenyewe hawana hata time na wewe.

Ukitaka kuamini watongoze.

Duuuh mkuu me mbona sipo huko

ooooh 3some ya mama na mwana mbona laana hyo

Kwanini uwe na hisia na wenyewe wapo?waulize kama kuna shida,mbona ni mambo mepesi haya?