Mbona nisiombe kwa fujo
Hi lost one.
:D:D:D:D
I hope uko sawa Lakini.
1 Like
Hi dear, I missed you. Can I slide in the DM?
Omba kwa fuji mse and all the best.
1 Like
Niko fiti kabisa
Ama umeweka kifuli while I was away?
Hehehe ni pipi wa mtu. Owessweka kifuli. Me nah want die.
1 Like
Nitaomba tu. ![]()
Yaani unarudi tu na dry spell hapa?
:D:D
Inbox yangu ishawekwa kufuli na funguo ziko kwa mfuko ya mwenyewe.
1 Like
No no no. Nitavunja hiyo mlango na crowbar. :mad: