Vile huyu mlebo anashinda amekuja Kenya, si apewe ID?! Ama ni import ya mtu? Kwanza mpaka alikuja kutafuta Wafula, si angeelekezwa Ktalk anipate
[SIZE=1]Ktalk CSI saidia, hii maumivu naskia ipungue[/SIZE]
umbwa wewe
Makwapa ya mende wewe
Huyo ni mimi na alaine, alafu nikimaliza niendee Denyque
nini mbaya Buda?
what you mean nigga???
boss mlebo ni nini? mimi najua tu Malebo ule wa wimbo ya Munish
Rudi ocha msee, hizo ni ngoma gani unaskiza?
Mlebo ni vile mtu wa central anaeza ita kidosho aliye na maumbile ya kupendeza
Morgan pia wapewe IDs, wameshinda huku. Its good for Music business, courtesy of wyre na G Money. FYI, alaine ni wife wa DonCorleone, kwa watu mnajua Riddims you know the name. Acha niskize ‘nadandia Kama mathree, siishangi Kama bundles’
Morgan wanaishi kenya msanii inakaaa uko nyuma
dry fry material nimekufia huyo dem
Morgan si waliambia uhunye wanataka passport na watarudi kuishi kenya.
Kumbe ameolewa, mwanaume ni kuslice
Hao walisema watarudi permanent