Alaa !

naah! I had enough likes to be elder as WAS required ni vile likes za elderville zimepandiswoo… kila kitu kwenda juu kwa hii Chupilee ata likes sasa zimepanda…

1 Like

Alaa. Hata mimi naona nimeshukishwa cheo. Kwani huku hakukuwangi na notice?:mad:

1 Like

hehehe tuko wengi but haisuru…sio biggie

1 Like

Hehe. Si watoe hizo title mtu akae bila. Ni kama kuwekwa jina kwa letterhead ya kampuni eti wewe ni director na hata share moja hauna

1 Like

kushukishwa ni nini ?

Kushushwa ango. Tulia hangover ikuondokee kwanza.:slight_smile:

1 Like

Daktari nimeangalia kamusi hio word hakuna ?