so jana…been a sato…biz hukuwa fiti juu wasee lazima wachukuwe movie za weeknd…
so this dude halla me up kama kawaida 3 DVD copy za ngwati na ziwe all ebony na pia hii comedy ya kevin hart na ice cube …nikamshow inaitwa ride along 2…
nikamshow haitakubamba kama hujawatch Ride Along 1 akanishow poa burn zote nakuja …
so kama kawaida nikachangamuka…nikamchomea na nikaweka kwa bahasa…
fast forward boyz akacome…akanilipa nikampatiya bahasa…then akanishow tommy sijawai kupataa ukiwa solo kwa shop…nikamshow kulimuwa kumejaa watu wametoka saa hii na client wengine najuwa wanacome am a busy guy (kujichocha lazima )
boy akanishow kuna kitu nadai kuku uliza…nikamshow sema buda…natakaa kufanya video mix apa …
boy akanishow…izi ngwati huwa na buy kwako ziko na quality poa nazipenda…nilikuwa nadai kama unaweza nichekia Gay Porn ya blacks…
l was like … ati
boy akarudia nadai Gay porn kama uko nazo…
(apo tommy nilikuwa natakaa kusema Boboclaat lakini nika maintain tu…nikamshow iza bro izo huwa siletee)
boy aka insist manze nitafutiye ata kama ni thao nitakulipa per DvD…
ilikuwa akward sana…nikamshow wacha nitaku ulizia …nilikuwa natakaa tu atembee
na nikaendelea na mambo zangu boy akaishia…
after like a hour boy anahalla vipi tommy uliniulizia …
aaaarg this jamaa.jo… nikamashow bado nitaku ulizia
fast forward nikaona message imeingia…mostly huwa sisomi message ama kureply…mchana huwa na chambua nikifika home
kucheki ni mpesa boy alituma 2k
then akacall akadai nimakiye mbili nitakuja monday…
aki pesa ni mbaya …sasa ndio na download kesho nikifika job l convert them to VOB ni burn izo DVD mbili
kuna bingi nilipea direction kwa shop akakuja akicheka cheka akauliza tommy wa dry fry ako wapi…iyo ufala mtu asiletee kwa shop…ilibidii nimshow boss apa hakuna mtu kama uyo…angalia next shop…
Soon atasema amechoka na anataka the real thing. Siku yenye utaskia ameanza “Tommy izo movie napenda lakini kuna vile nimekua nikikagua haga yako kisniper…napenda sanaaaa…” Hiyo siku usipretend vile umejam.