Ako wapi ule mkamba akujie sister yake

Anasumbuliwa na vitu mbili

  1. makanza
  2. Mbuvo

:D:D:D:D:D:Dsijui nilie nikicheka ju ya huyu mkambondia. @vuja de kam kias

Hehehehe, huyo pastor hekaya ina m nice badala askie prayer reuest ya huyo mthama

This is where desperation has taken people.
Isn’t it normal to have those makanza na bubu anywhere?

3 Likes

Haha Huyo mama anakaa makanza imemzoea hadi anatoa hekaya like a pro

1 Like

Summary priss. Kabla ni download

Dadako amepamiwa na lizards and bats kwa nyomba yake hayamalisa kujenga, anatezeka tzana

3 Likes

Vile napenda Wakamba aki huyu mama si mbaya sana. Aje nimpatie 50K amalize nyumba tuishi…

Mbubu na makanza ndio nini sasa?

@GUKA, tafadhali saidia huyo mama!

1 Like

Atampatia hiyo 50k alafu after two months akuje hapa kulia lia ati tena anaitishwa school fees na ata coomer hajapewa.

1 Like

Huyo Prophet anajifurahisha tu na masaibu ya mama, halafu wakati wa sadaka ni mama atampatia ka-fifty kake ka mwisho. Sad.

Sasa, wewe na yeye nani maskini?

makanza na mbuvuu ya mbuluu na olenj

Utahamia Kitui?

@Chloe @kingolonde Euphoria ni place wazimu, wah. The groupies made this night awezome. Demakufu lazima akuje huku.