Nimefika huku nikapata vijana wako well sorted. Kuuliza mbona hakuna wasee eti wanasema hapa huwa wanashinda tu njaa.
[ATTACH=full]483289[/ATTACH]
Serikali inapenda yut man na watoto sana. Public hospitals all treatment of kids below 5 years ni free even if admitted for several days. Dawa ndio utajinunulia in case hawana which is rare. Dawa za watu wakubwa ndio huwa inaibwa.