AISHA JUMWA ATTACKS JOHO & Kingi

Aisha leo ameamua kupimana na Joho. anamwambia atoke kwa makwapa ya Raila Odinga kabla atafte Urais. Kingi akaambiwa yake ata hawataongea :D:D:D.
Soon ii coast will be the laughing stock in politics kama western tu

https://www.youtube.com/watch?v=ooXyGNJ6DGM

Huyu handsome ghasia amejipodoa akapata sauti. Bila make-up hukaa warthog ime nyeshewa.

Mzito heshimu incoming gavana 2022.

:D:D:D ati aliambiangwa nini kuhusu kiuno?

Ati makwapa ya nani…

Kingi naye akaambiwa yake ata hawataongea:D:D:D. sema kubebwa ndogo

Aulize Muguna Muguna ako wapi na hizi @KeleleZa Chura

What is this “man” Juma saying? :D:D:D