Airport

Situation jana usiku ilikuwa tricky milaya zilikuwa most kushinda wateja.

Nilipita kuangalia gwaride nasikia tu hey handsome si twende, mwingine akaniambia napenda ndevu zako si twende.

Nilikuwa tempted kuenda but enyewe nimesota ilibidi nisimame kama kinuthia niangalie rada.

Hio muda yote niliona kama kastma wawili watatu wakiingia shot.

4 Likes

Niaje nduati wa uber

Nasaka ndai nitapata wapi

1 Like

Ongea na @Yuletapeli

1 Like

so ukachota chali? ama ulikua kinuthia gani? hii lugha yenu siipati

Hii mwaka at least enda church ubatizwe hiyo pepo ya kukamua lanye ikutoke