Talkers,mmeshindaje?..natumai siku ya leo,mambo yamewaendea msuuri!..
NOTE TO MY UNCLE:
A’ngo uwes,I hope unajua fika kuwa katika hii dunia,vote unayoyakopesha kila uchao,ndivyo utakavyolipwa sawiyan pindi itakapowadia Siku ya Siku.
HII INA MAANA YA KUWA:
UNAVYOKOPESHA,NDIVYO HIVYO HIVO UTAKAVYOLIPWA!
Its often said here in this forum KARMA IS A BITCH!..
A’ngo,ni Juzi tu,uliuwa nyoka pale man cave,mpaka ikalala!!
Hence,bibi ya wenyewe hakulala kwake!..Mr.Mureithi to date,anayo machungu ya kutombewa bibi na angali anahangaika kupata ufahamu wa matukio na masaibu gani yaliyomfika mkewe,Mrs.Mureithi Siku hiyo…
Kisa na mkasa:ikusde ingali imevimbiana!!.. mfano wa keki iliyotiwa hamira hadi ikaumuka!!
Inambidi yeye mzee,awajibike vilivyo!..Imebidi Ikusde kukandwa na Maji moto yaliyotiwa chumvi!!!
Kwa kweli A’ngo,Kidonda ndio umeshakitoneshaaaa!!..INAUMAAAA!!!
Mr.Mureithi,angali anajiuliza hivi: ni:nini hicho kilichomtomba madam?..ni Punda au?..Kwa hiyo elewa kwamba one day ,nawe utakuja lizwa tu!!
Ndio itakayokuwa Siku ambayo,Nyoka ya Mama Clichy:Itaauliwa!!!..Itanyoroshwa!!!..Itachapwaaa!!!..Itawekelewa!..mpaka ilale!!!..
Ndio Siku ambayo,Pwagu hupata Pwaguzi!!!..
Kwa hiyo A’ngo Uwes,nakunasihi hivi:
Achana na wake wa WENYEWE!!!..kutombewa bibi,sio mchezo!!!..Inauma sanaaaaaa!!!
Back to the issue at hand:
Talkers,ikiwa pana yeyote ukumbini hapa,na WEWE ni Travel Agent,naomba quotations za :
*RETURN AIR TICKET:
NAIROBI-ANKARA,(TURKEY)…
AIRLINES:KQ-EMIRATES-QATAR…
Possible date of travel ni 5th ,Aug.2016…
Additional advice kuhusu upatikanaji wa student VISA,ETC,will be highly appreciated…Ahsanteni!!!..
Laleni unonooo!!!..Akipenda MOLA,kesho pia ni siku!..InshaALLAH!