Ahsante sana Rais wangu Kagame wakati wakitusema Warwanda Sisi tunatengeneza Magari wao wanahangaika na Korosho!

[FONT=courier new]Aliyekuambia Mimi ni Mtu wa Mkoani Mara ( Musoma ) nani Mkuu? Mimi ni 100% Mnyarwanda tena wa Kabila ’ lililobarikiwa ’ mno na Mwenyezi Mungu kuliko yote duniani la ’ Tutsi ’ na maisha yangu yote yapo hapa Mkoani Kwangu Gisenyi nchini Rwanda na Kazi zangu ni tatu tu 1. Ukulima, 2. Uvuvi na 3. Ufugaji. Huko Mkoani Mara ( Musoma ) kuna Kabila moja hivi la ’ Wazanaki ’ ndiyo nalipenda sana kwani nimegundua ndilo Kabila lenye Watu wenye ’ akili / upeo ’ mkubwa kushinda Makabila mengine huko Tanzania hivyo nikalipenda tu. Karibu mno Kwetu huku Gisenyi Rwanda Mkuu. Nisalimie sana huko Tanzania Kwenu tafadhali![/FONT]

[FONT=courier new]Nikuombe tu futa hii Kauli yako kwani kama kuna Watu ambao unatakiwa utuogope na utuheshimu basi ni Sisi Wanyarwanda na usipoangalia hata haya maelezo yako uliyoyaandika hapa yanaweza yakakugharimu hadi ukashangaa. Wanyarwanda popote pale ’ tukikuhitaji ’ tunakupata. Sisi Mtu yoyote anayetaka ’ Kukwamisha ’ Hima,Tutsi, Nyamulenge na Zanaki Empire hapa East Africa ni ’ Adui ’ yetu namba 1 na kwa huu mtiririko na usererekaji wako unaonekana ’ unatuchukia ’ sana ’ Watutsi ’ kutoka nchini Rwanda.

Narudia tena kukusihi futa hii Kauli yako na utuombe msamaha haraka kama si upesi sana Sisi Wanyarwanda.[/FONT]

[FONT=courier new]Kama ’ Mazeri ’ wako vile![/FONT]

[FONT=courier new]Siyo tu kwamba ni ’ Mjanja ’ bali pia ni ’ very Genius ’ na anatuwakilisha vyema kabisa Wanyarwanda hasa wa Kabila la ’ Tutsi '. Ila Watanzania msijali sana najiandaa na najipanga sasa taratibu ili mwaka 2045 nije kuwa Amiri Jeshi Mkuu wenu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitawaleteeni sana ’ Maendeleo ’ na nitautumia Ututsi, Uzanaki, Umakuwa na Uyao wangu kuipeleka Tanzania kule ambako Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Japan, Korea Kusini, Israeli, Singapore na Malaysia watakuwepo ’ Kimaendeleo ’ Kipindi hiko Kikifika. Bila shaka hutoninyima ’ Kura ’ yako Mkuu pamoja na wana JamiiForums wote.[/FONT]

[FONT=courier new]Ndiyo mzidi ’ Kutuheshimu ’ Wanyarwanda tafadhali.[/FONT]

[FONT=courier new]IQ ya Wanyarwanda siyo ya kama yenu Watanzania ya ’ Kushikiwa ’ tena kwa ’ Spana ’ kabisa. Sisi hatuunganishi bali tunatengeneza wenyewe kila Kitu hadi Gari linakamilika na mpaka sasa baada tu ya Dunia kujua kwamba Rwanda imeanza Kutengeneza Gari zake yenyewe tumeshapokea ’ Order ’ ya Gari kama 93,000 kutoka Mataifa mbalimbali ambapo 40,000 yanatakiwa kwa Trump ( Marekani ), 23,000 Malkia Elizabeth wa Uingereza ameyahitaji, Mama Angela Merkel wa Ujerumani nae ametaka Gari 15,000 na hivi punde tu kabla hata sija log in hapa Rais wa Ufaransa Manuel Macron nae ametaka Gari 15,000.

Na kama itatokea ’ Order ’ kutoka Kwenu Tanzania hatutopoteza muda Wetu kuwatengenezeeni kwani hamna Hela wala Ubavu wa Kuyanunua kwakuwa bado mnapamba na ’ Umasikini ’ wenu. Rais wangu ’ Kipenzi ’ Paul Kagame si ’ mwizi ’ kama usemavyo halafu ’ nakuonya ’ mapema tu acha na leo iwe mwanzo na mwisho kumuita Rais wa Rwanda ’ Mwizi ’ la sivyo unaweza ukaiona ’ Power ’ ya Wanyarwanda halafu ukaja ’ Kujuta ’ kama siyo hata ’ Kujilaumu ’ pia.

Na usijali hatutoishia tu kuingia huko Mirerani bali tumeshaingia hadi ’ Jumba Kubwa ’ pale Magogoni Feri na sasa tunamalizia ’ Kujipenyeza ’ maeneo yenu muhimu kabisa ili hatimaye sasa ndani ya miaka 15 ijayo Tanzania yenu iwe sehemu ya ARDHI ya Taifa ya Rwanda. Mpaka ile ’ dhamira ’ yetu ya Hima, Tutsi, Zanaki na Nyamulenge itimie ’ Kivitendo ’ kabisa Afrika ya Mashariki. Na Wanyarwanda tukiamua jambo / kitu huwa hatushindwi na hatutishwi na ’ Kinyankera ’ kama siyo ’ Kibushuti ’ yoyote yule.[/FONT]

Vipi kuhusu interahamwe?

Mashoga wengi walianza hivyo hivyo,mtoto wa kiume unajipendekeza kwa dume mwenzako unatafuta nini!

Hayo magari yatanunuliwa na Wanyarwanda pekee au watu wengine watakaolazimishwa. Gharama za uzalishaji wa hayo magari zipo juu zaidi Rwanda kuliko gari hilo hilo mahala pengine duniani.

Na hii kwa sababu parts zinatolewa South Africa na kusafirishwa hadi Mombasa halafu baadae zinapelekwa kwa barabara hadi Rwanda.

Namna pekee ya Rwanda kuuza hayo magari ni kuondoa kodi ili walau bei yake iwe ndogo.

[FONT=tahoma]Tambo nyingi sana mkuu hivi ushaangalia gharama za uzalishaji wa hayo magari kwa huko kwenu zikoje ukilinganisha na nchi nyingine kama SA na Germany sina hakika kama hizo order ni za kweli au ni kunogesha tu uzi wako ili kutetea hoja yako. Umesema kuhusu order ya TZ hamtapokea kwahyo nyinyi mmejipanga kufanya biashara zaidi na nchi za magharibi zaidi kuliko za ukanda wenu maana sina hakika wangapi katika nchi yenu wanaweza kumudu gharama kununua gari hzo. Umetumia kigezo gani kupima IQ za wabongo na za wa kwenu mnakotawaliwa kwa mkono wa chuma na dharimu PK?[/FONT]

[FONT=courier new]Kama ambavyo ’ Babaako ’ alianza ’ Kujipendekeza ’ Kwangu na ’ nikamtambalizia ’ nao ’ Unyabeni ’ Kwake hadi leo anauhitaji tu ’ Mkuyenge ’ wangu.[/FONT]

[FONT=courier new]Nikiwa kama Mwakilishi Mkuu wa Rais Paul Kagame ndani ya Mtandao wa JamiiForums nakuahidi kuyafikisha haya yote uliyoyaeleza hapa Kwake tafadhali. Saa 6 na dakika 45 hadi Saa 7 kamili nina ratiba nae ya Kuzungumza kwa njia ya Simu mambo yetu mbalimbali hivyo hili lako nitaligusia.

Na kuanzia leo ukimwona tu GENTAMYCINE humu / hapa JamiiForums jua kwa 99.9% umeshaonana na Rais wa Rwanda Mwanamume, Shujaa na Mpambanaji Paul Kagame. Kama una lingine labda unataka kunituma nimfikishie Rais Kagame niambie sasa hivi kabla sija ’ log out ’ hapa mnamo Saa 5 kamili ( kama dakika 32 tu kutoka sasa )[/FONT]

[FONT=courier new]Katika Kiswahili Sanifu kabisa hakuna neno ’ dharimu ’ kama uliloliandika Wewe hapo bali kuna neno ’ dhalimu ’ ambalo ndilo sahihi kabisa. Sasa kama tu Wewe ni Mtanzania halafu Kiswahili ambacho ni Lugha yako hukijui vizuri na Mimi ambaye ni Mnyarwanda tena ’ Mtutsi ’ nakuzidi kukijua hujioni kuwa tayari umeshathibitisha mwenyewe kuwa huna Akili au kwa neno jepesi kuwa Wewe ni Popoma / Pumbavu?[/FONT]

[FONT=courier new]Kajifunze Kiswahili vizuri na ukikijua rudi tena Kwangu. GENTAMYCINE huwa nina ’ allergy ’ na Watu ’ hopeless '.[/FONT]

DUU , hizo tunapata kwa M4 tu used lakini

Fanyeni uungwana muwarudishie wacongoman raslmari mlizowaibia japo kidogo

Kwakuwa wewe umefirwa na baba yako na sasa unataka ufirike na kagame basi unafikiri na wengine wapo kama wewe!,kenge mkubwa

Rwanda tangy lini wakaundaVolkswagen? Volkswagen ni magari ya Kijerumani, Rwanda watakuwa wanayaunganisha na sio kuyaunda. BTW hats Tanzania tuliwahi kuunganisha magari aina ya Scania pale Kibaha.

Kaka

Huyo atakuwa msenge wa kagame maana sio kwa kujipendekeza hivyo

Usitishe watu Genta, mbona Kayumba Nyamwasa hamjampata?

Kaka

https://www.economist.com/business/2018/06/30/vw-opens-rwandas-first-car-assembly-plant?fsrc=scn/tw/te/bl/ed/vwopensrwandasfirstcarassemblyplantfirstgear

@GENTAMYCINE kaka soma hiyo article