ahsande

after the good advice from @Nananimpa and prayers from @Mrs4thletter nilikuja nyumbani nikaongea na bibi akanielewa sasa leo nimeambia shetani akae mbali na mimi ninaye yesu moyoni . so mimi na clichy tunacheza fifa btw nilimnunulia ps4 but i prefer ps3 , mpaka chee nikibugia my favorite drink . msapere ni cheering squad hapa kando . nimeacha tabiia mbaya .

[ATTACH=full]62758[/ATTACH] [ATTACH=full]62759[/ATTACH] [ATTACH=full]62760[/ATTACH] [ATTACH=full]62761[/ATTACH]

Bado uko na gazeti la 2013?

my deer purr nisaidie verse ya kutoka revelation priss

kamezee ARVs uache kutusumbua

Ala!!?? Uko sawa ama ushakufa?

Enda usome Proverbs 31:3-7 alafu kesho pita kwa Kanyari akuombee

[ATTACH=full]62764[/ATTACH]
Value your family @uwesmake

[ATTACH=full]62765[/ATTACH]

Naona haujawacha kunywa Jameson ya Kariobangi.

Ata ukiwa nyumbani unavaa jeans. Huwezi acha makende ipumue?

Hehehe…they should replace king with dry-fry chairman in the K-talk version of the bible

ma-k ya wenyewe unaiuliza nini?

Ango leo pikia mama home made meal mucheze cheze kama watoto mkicheka to sweet nothings chakula haitakua tamu kama yake but she will appreciate the effort halafu kuna kitu inaitwa electric dust blower safisha hio game pad meffi

Gosh hiyo belt ni ya birrionaire kweli…? Peasantry is real

si u peasantry pekeake . Mimi huona watoto wanavaa izo belt zinakaa tambi za taa ya mafta

sounds gaylordish right

Hatutaki kuitwa Harambee ango akafanyiwe operation ya makende, Kama mod Fulani hapa, Alafu watu washindwe kwani Ni baluhya tu wako Na hizo shida au Ni kurogwa

na uache kufanyisha clichy kazi kama hii

https://pbs.twimg.com/media/Cuy4iTaWEAIcu0a.jpg

Hehe … ulikuwa unatafuta nini huko kwa belt

Certain designer jeans come with those kind of belts. Sijasema yake ni dessigner. Birrionaire tings. :smiley: