Gooood Moooorning. @Afro yuko na import @uwesmake na momo @Fala 12 ndio ameingia bed @Gio alikunja mkia @Guru yuko Kwa barabara amkeni mukanjenge inchi rangi mutuachie. Good day all am back under the blankets
Good morning. Mimi niko kwa duka. Talkers just sleeping baada ya kunywa faxe na daniels overnight. They become lazy.
Good morning talkers, it’s six o’clock.
Fruitful day to everyone.
Morning good people, Leo nimeamka mbele ya alarm. Have a productive day.
@Mathaais Uko na umama lakini tuko pamoja:D:D:D
Ni sawa tu mama mwenzangu.
Poa babaa siku njema
happens a lot siku huendi mahali…
True coz leo siendi “kutu” hehehe
Very true. Like today niko tuu home na usingizi hamna lakini weekdays?
Leo macho imefunguka 0400hrs ikabidi nianze records analysis za biz
Ibwit hio ‘mubara’ utaendesha mpaka lini.
Nakuonea 21 kam slowly. Hehehehe
Una snooze alarm kitu kama 100 times
Good morning. From my ritual Saturday walk from Tudor to Mama Ngina Drive (@Meria Mata kuna cheki maneno huko). Have a peaceful weekend
Wa mombasa vipi, unapepeta leo
:D:D:D:D:D:D Niko poa kaka, wacha nikimbize mradi flani, nikiwa birrionaire by jioni lazima kupepeta
Good luck mblo
Asanda
It’s a time trial, couldn’t make it today