NIABM, NIABWA
Kila kitu Ni kuletewa
Get uaself a woman.
i agree 100%
tuko na mental problem collectively including muslims who are non-arab
huwa mnapiga sherehe kila weekend mkikula pombe mwaka mzima, lakini Christian siku yao moja hamtaki?
huyu vhief whiner @bonobo ndindu hananga akili usi bebe yeye kama binadamu
Good question
Chinese, indians walikataa hii upuss.
Leo nmepata message mbili za xmas…from my PA and my ex. Nka watu waliacha ujinga ya kutumiana Xmas messages.
Chinese wakienda grave sweeping ceremony/Qingming festival wao huwa wanaweka traffic jam ya two weeks, wao wanapiga sherehe kubwa ata kuliko Christians.
Wacheni Christians washerehekee kidogo pia.
Kuna christians muhindi pia
Yao si ya kuletewa.
Sisi hata toothbrushes Ni za kuletewa
na nail cutter zote za Kenya zimetoka Korea
For the first time sijapata xmas message except from direct family. Ni kama nasahaulika
Watu wameanza ku realize its just a normal day.
Yes, na pia wa Chinese who practice Christianity
I hope so juu nimeamka very disappointed. Plus wasee nimewish merry Christmas wamereply very unenthusiastically. I’m on a deleting contacts spree
No need, tegea new year and see wangapu watajitokeza. Mimi 99 percent of my contacts ni clients, so wana expect.mimi niwashtue. Nina beste mmoja tu.
Na mbona unasema walikataa Christmas
Ala nmesama hayo kweli
Every year hizi topics za kutrash holidays hazikosangi
Important to note that Christmas is a made up commercialized holiday and not biblical in any way.