[FONT=verdana][SIZE=5]Wenye grills za namna hii mjitafakari, afande kalizwa TV.[/SIZE][/FONT]
https://www.youtube.com/watch?v=YlNyvJKr8G8
[ATTACH=full]178734[/ATTACH][ATTACH=full]178735[/ATTACH]
[FONT=verdana][SIZE=5]Wenye grills za namna hii mjitafakari, afande kalizwa TV.[/SIZE][/FONT]
https://www.youtube.com/watch?v=YlNyvJKr8G8
[ATTACH=full]178734[/ATTACH][ATTACH=full]178735[/ATTACH]
ha ha ha haki ya juzi
asaiv ukizubaaa zubaa waweza uamke asubuh wameondoka na figo au dushe
Acha waipiweeeeee
wapigwe tu hakuna namna
Kumbe huku tuko na maasikari? Mweee!
sasa mbona afande ana hasira na mnunuzi kuliko mwizi?? maafande bana eti au nikutandike :D?? the rule of law is a fu*king joke
Kwa hali ilivyo sasa usipokua makini utashangaa mmelala na mwenzi wako unaamka asubuhi wamemuiba tayari
Tena wakorofi hao wa kulipa kodi
Aisee watu wabunifu sana
Siku wakiingia nyumbani kwako wakakutia hasara ndo utajua wezi sio watu…huyo anaonekana ni dalali wa vitu vya wizi.
Nyumba ya jirani waliingia wakapiga mazaga thamani kama milioni 8.
Usawa huu???
Kabisa kabisa, yaani mitaani kunatisha…