Hallo everyone. I need some help from you but saa hii nko quarter yangu ya pili ya Gilbeys n almost nieke auto pilot so nitacha hi story hadi kesho asubuhi. Its all to do with this married folks how did you know she or he is the one? Musinijibu saa hii but just think about it kesho unisaidie sawa? Mwenye anakiuu akuje Kitindo bar atapata moja just say unataka kujoin dry fry coner
Utapewa hekaya mingi lakini ukweli ni kwamba 90% of guys got married because the girl got pregnant
Are you saying that love never featured anywhere
That is exactly what I am saying
Wengi wao walioa urembo ama vle dem anapatiana Coomer
precisely @Guru love has nothing to do with the jail sentence that the society has imposed on men and women it’s just an issue of accident s occurring an BOOOOOOM BLAST THE FUCK UP YOU ARE MARRIED AN AD A FAMILY COMES
standard narrative. bang! bang!
gal: bae nikama niko na ball.
boy: nisake doh utoe ama
gal: (crying) unaezaje sema hivo kwani. hunipendi? cant imagine you said that
boy: si hivo bae I was just suggesting
gal: nanikikataa utaniwacha? (more crying) sikuwai imagine kua single mother. sasa mtoi wangu hatakua na baba na vile my mum went through hell ndio asibreak marriage juu yetu( more weeping and gnashing of teeth)
boy: sawa bae come tuishi pamoja basi
meanwhile @Mtuchuma kunywa bro kunywa kabisa
[ATTACH=full]27317[/ATTACH]
Kitindo Bar hapo Choma Zone ama gani?
sija marry bado and not in a hurry
Airport noth road karibu na tajmall
90% ni wewe
ile day aliniokolea na rent…had to marry her
:D:D:D:D hapo umemanga point
Kesho basi utapata jibu langu
@Guru dont mind these monkeys. they are all single dudes, barely into their thirties and not looking to get married any time soon. There are people here who married without anyone being pregnant
hmmmm?
ION- @mtu chuma hapa hakuna mambo ya kufikiria overnight -no problem worth overnight ruminating at all…by the way are you now physiologically prepared?
Others was come we stay then dame akakatalia kwake… just like the other post ya ule msee… wa jana
Okay… keep the strong faith you have if your are still single coz your days will come.