huyo dem najua akili ilikuwa imelight up kama msee amepigwa shock, hata angepigwa risasi she would never feel the pain immediately ![]()
Hizi maumbwa zinatesa raia na huwa zinaishi kama mutina @GituK7 mwenye hurecycle kinyesi yake
2 Likes
Yaaani serikali iliamua tutaishi ivi..?
What’s so difficult to do?
Governance!!!
Chei!!